Recent content by Kiresua

  1. Kiresua

    Maji ya tanki kuwa machungu

    Ni tenk jipya, na hatujahamia bado. Maji ni ya mvua. Niko Morogoro
  2. Kiresua

    Maji ya tanki kuwa machungu

    WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga. Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi. Kiresua
  3. Kiresua

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    Someni kwanza hii official document kabla ya kutoa mtizano wowote. Tusikwazwe na upepo wa mitandao https://rorate-caeli.blogspot.com/2023/12/fiducia-suplicans-dicastery-for.html?m=1
  4. Kiresua

    MSAADA: Naomba muongozo jinsi ya kutuma maombi ya leseni LATRA kwa kutumia IMS

    Naomba msaada namna ya kuomba maombi ya leseni ya chombo cha usafiri (Gari ya mizigo), nikijaribu naambiwa niweke taarifa za Afisa Usafirishaji. Sielewi niweke taarifa gani. Naombeni msaada waheshimiwa. Asanteni.
  5. Kiresua

    Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

    Mm niko Morogoro, niliomba umeme tr 28 Apri 22, nikafungiwa tar 14 may 2022. Nilifuata taratibu kama kawaida sikutoa chochote na wala sikumjua yeyote. Nilihitaji nguzo 2 na things went on very well and efficiently.
  6. Kiresua

    CAG anapaswa kujiuzulu kwa kukiuka utaratibu

    Baada ya Raisi document ni public na bunge ni sehemu ya public domain
  7. Kiresua

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Hi Hivi ttcl inapatikana leo, tangu saa 2 asubuhi niko njiani from moro hadi arusha hakuna coverage kbs
  8. Kiresua

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Internet ya hawanjamaa haiko vibaya sana mpaka vijijini nastreem seheme ambayo mitandao mingine haipatikani. Ila ukweli wako nyuma kimasoko hii ndo shida ya serikali kufanya biashara. Wasubiri ruzuku hazina ndo wafanye kazi wakati wenzao nimkupress tu button ela ya kazi inapatikana
  9. Kiresua

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mdogo wangu ameibiwa sim jana saa 12 jioni akablock namba jana hiyo hiyo leo anakwenda kurenew namba anaambiwa salio lilishahama tangu saa 10:09. Muda huu alikuwa na sim yake. sasa tunashindwa kujua hela alioa nani..... any one can help? na ni hela nyingi sana... Msaada tafadhali
  10. Kiresua

    Convenience Fee tunayochajiwa na makampuni ya simu ni kitu gani?

    Wana JF, Kwa muda sasa nimekuwa niki-observe trend kwenye makampuni ya simu kila unapotuma fedha unakatwa kiasi fulani licha ya hela ya kutolea anayokatwa. Mfano Airtel inaita convenience fee. Kwa mwenye uelewa atusaidie ufafanuzi
  11. Kiresua

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nilipia service ya kupata Luku ya 3 phace tangu tar 27 march 2019 mpaka leo nazungushwa tu. nimefualitlia mpaka kwa meneja bado hawajaonekana kuwa masaada. Nimepata hasara kwani imenibindi niweke Mlinzi kulinda moundombinu niliyoisimika ambayo haizalishi.... please tuambie nini kinaendelea. na...
  12. Kiresua

    Nahitaji one storey home Plan

    Seriously ?
  13. Kiresua

    Nahitaji one storey home Plan

    Sim yako haipatikani
  14. Kiresua

    Nahitaji one storey home Plan

    Kwa architect mbunifu anayeweza kunitengenezea kazi nzuri ya kissasa please PM
  15. Kiresua

    Enzi hizo kuogeshwa

    Heheheh
Back
Top Bottom