Wewe tayari umeonyesha upo upande wa dola.
"Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma."
Sasa unaposema anabeza mahakama zetu hivi wewe kwa akili za kawaida hata kama kwa bahati mbaya hujawahi kukutana na masaibu ya mahakama zetu kwa maana kwamba hujawahi kuwa na kesi ya...
Mifano ipo ya kutosha tu mfano kuna Senegal, Ghana na hata huko Kenya mabadiliko ya kiutawala na kisiasa yameleta mabadiliko makubwa tu ni vile kwa sasa sina muda wa kumwelewesha mtu mwenye fikra mgando kama wewe
Wewe baki na mifano ya watu waliofeli ila mabadiliko ni muhimu.
Nakumbuka zamani tulikuwa tunalima kienyeji na wazazi wetu walikuwa waoga kufanya mabadiliko kwenda kwenye kilimo cha kisasa ila tulipoukataa uoga tulifanya mabadiliko na mageuzi na mpaka leo tumetoka kwenye kilimo chakula mpaka...
Taja huo uzoefu wa nchi nyingine lakini pia na mimi nitakupa mifano ya nchi ambazo baada ya vyama twawala kung'olewa madarakani mabadiliko makubwa ya kila nyanja yalitokea
Labda usingejifungamanisha na ma CCM tungekuelewa as mtu ambaye uko upande wa wananchi na kwamba unawachukia
Sasa mbona umesema ma CCM yasiwaachie madaraka wapinzani na hapo hapo unasema huwapendi wanasiasa, tukueleweje?
Labda usingejifungamanisha na ma CCM tungekuelewa as mtu ambaye uko upande wa wananchi na kwamba unawachukia wanasiasa.
Ila sisi ambao tuna akili ya asili tumeshauelewa unafiki wako na ndio maana umesema CCM wasilogwe wawaachie wapinzani dola.
Kama kweli unawachukia wanasiasa je ma CCM si...
Elewa kwamba kabla ya vita ya kwanza na ya pili ya dunia USSR ndio dola lilikuwa na nguvu sana duniani pamoja na kwamba Marekani na ulaya magharibi walikuwa washindani. Baada ya wayahudi kwenda kwa wingi Marekani ndio taifa hilo likaanza kutawala kila nyanja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.