Recent content by Kipre cheche

  1. K

    Vinauzwa viwanja Kigamboni Kisiwani

    kwaiyo hiyo ndo bei rahisi?
  2. K

    Viwanja vinauzwa Kinyerezi

    labda ajiuzie, sq 1 elfu 30. unless in seehmu inayofaa ku invest kitu kama shule
  3. K

    Nauza PS2 Bei ya Bia tatu tu!

    Nauza PS2, ziko 3. (zimetumika) Zote zimechipiwa Zote zina Flash ya GB 8 (zenye game mbili kila moja) Zote zina Memory Card Zote zina padi 2 bei ni 150k kwa kila moja. 0769160343 call/whatsapp
  4. K

    Viwanja vinauzwa Mbezi beach, bei cheee

    mbezi beach, mil 2 unaambiwa hutakosa??? dah. Ngastuka meeku, machale kun desa. ntea huung. tarukushaaaa daada
  5. K

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    unafanya ivi, unachukua tarehe ya kuanza ku bleed, unajumlisha jumla ya mzunguko wako alafu unatoa siku 15, iyo ndio siku uko likely kupata mimba ya mtoto wa kiume, au ukifanya tendo siku 2 au 3 kabla ya siku ya 15 utapata wa kike. mf. unaanza tare 1 ku blead. na una mzunguko wa siku 28...
  6. K

    Ps2 Zinauzwa Complete Bei chee tuu!

    qqdsffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffff
  7. K

    Natafuta ps2

    ninazo ps2 3 zimechipiwa, kila moja ina padi 2 na flash ya gb8 imbayo kila moja ina game 2, nauza 170,000 kila moja, maelewano yapo kama unataka kwa jumla, pia nina tv 3 za nchi 18, nauza 90,000 kila moja. 0787281300 call/whatapp
  8. K

    Ps2 Zinauzwa Complete Bei chee tuu!

    Niko Arusha, Nauza PS2 ziko tatu, kila moja ina padi 2,tv ya nchi 18, Zote zimechipiwa na zina Flashi ya 8gb kila moja ikiwa na game 2. Bei ni 260,000 kwa kila set moja iliyokamilika. Hotline 0787281300 call/whatapp
  9. K

    Viwanja vinauzwa

    nataka cha posta, unacho?
  10. K

    Nauza laptop na simu

    umeiba wapi izo aise?
  11. K

    Nauza Laptop bei Tshs 200,000

    oyo labda umpe mtoto achezee pinball na karata
  12. K

    Kiwanja kinauzwa Bahari Beach

    aya. usihofu bado kidogo naanza kula nchi na mimi, ntaiba vibaya mno, ntakupa iyo pesa. kifiche kwanza
  13. K

    Viwanja vinauzwa Goba

    vimepimwa?
  14. K

    Viwanja vinauzwa vimepimwa na vinahati

    katafute muwekezaji wa kuku afugie hapo
  15. K

    kiwanja kinauzwa futi60-60 sh.milioni4 na laki 3.

    dhamani ya kiwanja inapanda kidogo sana, pesa ya kibongo ndo inayoshuka dhamani.
Back
Top Bottom