Recent content by kipozeoo

  1. K

    Bundi katua Nyumba ya Jirani, Katibu wa Wilaya (CHADEMA) Lindi ajiunga na CCM

    Chadema ni chama cha kikabila na kidini
  2. K

    Rais Kikwete amteua Profesa Muhammed Bakari Kambi kuwa Mganga Mkuu wa Serikali

    Kumbe ndiyo maana mnataka lowasa aje kunyanyasa waislam si ndiyo? Na kwa taarifa yenu yule mmasai nchi hii ataiskia kwenye bomba tuh
  3. K

    Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

    Endeleeni na hizo ndoto za alinacha.
  4. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Potelea mbali. Hao jamaa sisi hatuwez kuwapa kura. Andaen Ambulance mwaka huu
  5. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Mkuu. Sisi tuna kumbu kumbu na hawa maadui zetu. Huyo Gwajima ambae wao wanamuita ni mshenga wao alishawahi kutamka maneno ya ukakasi sana na yenye chuki dhidi ya waislam huku Akisema kwamba eti CAG mpya yule ustadh amenzisha msikiti ndan ya jengo na maneno kibao ya kuudhi. Leo ndie...
  6. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Kama kura za Walutheri woote nyinyi zinatosha kumfanya awe Rais wa Jamhuri ya muungano basi sawa atakuwa. Msisitizen aendelee kuhimiza waumin wenzake huko makanisani. Jibu atalipata october 25. Andaen Ambulance Mapema
  7. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    There is no difference kuipiga chin ccm na kumpa madaraka lowasa. Its The Same. Na ndoto hiyo its very very unfortunate haiwez kutimia.
  8. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Utawala wa mwinyi kumbe waziri mkuu wake alikuwa ni Sumaye wa Ukawa eeeh? Sasa tutakutana october 25.
  9. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Waislam hatuwez muunga mkono sumaye ili hali tunajua alichotufanya pale mwembechai. Vile vile muislam timam hawez muunga mkono lowasa ili hali anajua alichokifanya kwenye MOU. Ukawa mmejipakaza mavi wenyewe. Iman kubwa imepotea baada ya kuwakaribisha hao jamaa wawili lowasa na sumaye...
  10. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Kinachosikitisha ni kwamba wale waliokawa vinara ndan ya mfumo huo wamechukuliwa na UKAWA. Inasikitisha sana.
  11. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    We live once then we are gone. Hakuna Rehearsal kwenye maisha. Kama umeamua kufanya rehearsal hii ni juu yako wewe mkuu.
  12. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Kama kweli ile MOU hakuhusika lowasa tutaona kama atakuwa ni Rais wa nchi hii. Sumaye na lowasa hawana cha mabadiliko. Ukawa mmejitia Najis wenyewe.
  13. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Kura hazipigwi Jamii Forum Mkuu. Na sisi hatuwez kumsamehe mtu ambae katugharim maisha yetu kama lowasa na sumaye. Usiwe na mashaka tukutane october 25. Tutajua kuwa Rais ni Mlutheri ama laa.
  14. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Alieifanya lobying ya MOU ni lowasa na kumzunguka Mwinyi. Mwinyi amekuja kustuka mambo tayari yalishawekwa kimyani chini ya hadaa ya wazir mkuu kipindi hiko malecela. Sisi tunajua historia yetu. Ukawa mmejipaka najis wenyewe kwa kuwambatia Sumaye Na Lowasa. Tukanen Matusi kisha Tukutane...
  15. K

    Damu ya MoU mikononi mwa Lowassa na damu ya Mwembechai mikononi mwa Sumaye, ni najisi kwa UKAWA

    Insha allah tukutane october 25. Then tuone kama ni zamu ya Mlutheri au la. Tuvute subira.
Back
Top Bottom