Siwezi kusema Kuna uhusiano wa moja kwa moja. Kuvimba hayo manundu ni sign mojawapo kuwa Kuna kitu hakipo sawa kwenye immune system. Nenda cpitali, Kama upo Dar nashauri uende muhimbili
Pole Sana, kwa maelezo yako unahitaji kufanyiwa uchunguzi/vipimo kwa kina. Ila naamini madktari walipaswa kukuambia tatizo linalosababisha upungufu wa damu unaojirudia. Kitaalamu upungufu wa damu ni matokeo ya tatizo Fulani mwilini ambalo shurti lifahamike.
Ila kifupi inaweza ikawa shida ni...
Mkuu, kiuhalisia ili mimba itungwe sio lazima uone shahawa zimeingia ndani ya uke, unaweza ukafanya mapenzi meanamke akiwa juu ya mwanaume na mimba ikatungwa. Hivyo hiyo Hali ya seamens kutoka ni kawaida. Hapo Kuna tatizo jingine linalosababisha mimba isitungwe. Pia inaweza ni tatizo la...
Sina hakika Kama wapo salama, ila ukimsikiliza yule Mama, Kama hataingiliwa atatusaidia Sana. Hajawa biased na uchama, hamung'unyi maneno. Tofauti na zwazwa Chekeleni, snayejiita wa PIC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.