Recent content by KiponzaOne

  1. KiponzaOne

    Killy na Cheed wajitoa King's Music

    Umetambulishwa rasmi kwenye lebo ya mwanamuziki anayejiita King tangu Oktoba 2018 leo unakuja kuzidiwa umaarufu na idadi ya mashabiki na msanii (tena wa kike) aliyetambulishwa ndani ya wiki moja iliyopita kwenye lebo nyingine halafu usiondoke kwenye hiyo lebo ya King uliyopo? Yani toka...
  2. KiponzaOne

    Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

    Kala hakushida BSS. Alifanikiaa kuingia Tano Bora tu. Mshindi wa BSS mwaka alioshiriki Kala anaitwa Misoji Nkwabi. Mshindi wa pili alikuwa Rogers Lucas.
  3. KiponzaOne

    Msanii mpya wa WCB (Zuchu) ni sifuri

    Diamond ametuletea msanii gani? Yani haka kasichana kanakoitwa Zuchu kweli ndio kaje kushindana kwenye hili soko lenye waimbaji mahiri wa kike kama Nandy, Ruby, Maua Sama, Vanessa, Jide na wakali wengine wa kike wa hapa bongo? Kweli? Kwa sauti ile? Pengine kwa kuwa ni mtoto wa yule mama ndio...
  4. KiponzaOne

    RIWAYA: Machozi milele

    Sehemu ya tano kiongozi
  5. KiponzaOne

    RIWAYA: Machozi milele

    Muendelezo sasa
  6. KiponzaOne

    RIWAYA: Machozi milele

    Nzuri sana.
Back
Top Bottom