Naomba kuuliza hili jambo miaka kadhaa imepita watu waliwahi kuuliza connection za kupata ajira za kusafirisha magari nchi jirani maarufu kama IT lakini hakuna mrejesho je ni kwamba hizi kazi hazipatikani moja kwa moja nchini au watoa connection wamekua wachoyo kwa upande huu?
Kwa wakulima wenzangu msimu wa maembe umewadia changamoto kwa sasa ni soko linapatikanaje.
Kwa yoyote mwenye kujua soko la uhakika tafadhari naomba tujulishane au kama unahitaji embe kwa bei ya jumla utazifata shambani Kibaha.
Nitafute kwa wasap 0746590147 tufanye biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.