Mtoa mada hiyo ni kwa imani yako na mtazamo wako...mbona kuna watu wana majina tofaut na hayo na tunaona wana success kweny kila sekta?! utafiti wako uliufanya wakati gani!!? au ni outcome ya ndoto nyevu nini...hahaa
Sipati picha yule jamaa aliyesema anatangaza rasmi kumdharau January Makamba kutokana na kauli flani flani alizoto cjui atakuwa amejiskiaje maskini baada ya kuona huyoo kwenye tano bora yumo..dah
We mmama kuwa mstaarabu...kwani wewe ni admin humu ndani??!! usitake kupanda watu kichwani, thread zako za mapenzi weee ndio za ukweli sio? wenzio wanaotoa thread zao ni waongo humu ndani wamezitunga sio?? jaribu kujiheshimu huwezi kutoa ushauri pita huku unakimbia..mfyuuuuuu
Mwishowe tutaambiwa tusitoke majumbani mwetu kabisa tujifungie ndani...maana huko tunakoelekea ndio pabaya zaidi ya sasa...kwa namna hii maendelea tutayaskia kwenye redio tu na kuyatizama runingani...Tanzania oyee!! bullshit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.