Recent content by Kipelepeto

  1. K

    Ukiajiriwa ni lazima uwe Mwanachama wa vyama vya Wafanyakazi?

    Nimeona katika taasisi nyingi sana Maafisa Utumishi wamekuwa na tabia ya kuingiza makato kuchangia vyama vya wafanyakazi bila ya idhini ya mwanachama. Hii imekaaje Kisheria kwa wale wajuzi karibuni tujadili pamoja.
  2. K

    Mwigulu Nchemba, haipendezi Waziri wa Fedha na Mipango kuwa MUONGO

    Acheni aendelee kutudanganya tu. Si tumeamua kutumia asilimia moja ya akili zetu.
Back
Top Bottom