Recent content by kipati3

  1. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Naomba niongee na vijana wa Tanzania, Gen-z

    Wananchi wameanza kutambua wapendwa wao katika video ya Mwananyamala chumba cha maiti
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea udiwani kata ya Mwandege ACT apewe masharti mawili ama kupokea fedha au kupotezwa

    Kwa tarafa za Leo Madiwani wa upinzani WA kata zote za tarafa ya mkuranga wamefatwa na kutishwa au pesa Ilo zoezi analiendesha MBUNGE WA Jimbo Abdallah Ulega Lengo asipate Kura chache kama alivyopata 53% katika Kura za maoni za CCM
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea udiwani kata ya Mwandege ACT apewe masharti mawili ama kupokea fedha au kupotezwa

    Mwenyekiti wa Kitongoji cha Luguruni B Shukuru Mkumba
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea udiwani kata ya Mwandege ACT apewe masharti mawili ama kupokea fedha au kupotezwa

    Mtendaji wa kata katika ya Mwandege, jimbo la mkuranga Mkoa wa Pwani, Ally Mkawa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Luguruni B katika kijiji cha lugwadu, Shukuru Mkumba Wameingia katika tuhuma za kumshawishi na kumtisha Mgombea wa Chama cha Act Wazalendo katika kata hiyo Ramadhani Lugome kujitoa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wagombea udiwani wasusia kusaini matokeo ya Uchaguzi Mkuranga idadi ya wajumbe na Kura ni tofauti

    Kufatia malalamiko na clip za video zilizokuwa zinatembea mitandaoni nchi nzima siku ya Jana. Clip za video zilizokuwa zinaonyesha wakinamama wa wanaccm wa wilaya ya mkuranga. wakiomba Masada na kulalamikia kukamata Kura feki wilayani humo katika mchakato wa Uchaguzi wa udiwani viti maalumu...
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkuranga: Kura feki za kamatwa zikisafirishwa kwenda ukumbini

    YAJUE MATOKEO YA KURA ZA MIUJIZA ZILIZOPIGWA GIZANI WILAYANI MKURANGA
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkuranga: Kura feki za kamatwa zikisafirishwa kwenda ukumbini

    Kufuatilia Tetesi za jana kuwa uchaguzi wa leo mkuranga utakuwa na wizi wa kura Leo hii vyombo na masikio yalikuwa wilayani humo Na leo kweli yametimia ambapo taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi ya wananchi wamekamata kura feki ambazo tayari zilikuwa zimepigwa kwa niaba ya baadhi ya...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za rushwa ndani ya mchakato wa CCM: Funzo kwa Taifa zima

    Mkuranga huko kuna mkuu wa wilaya Anapita kukusanya pesa ktk viwanda anatia mfukoni 😄😄
  9. K

    JamiiForums Tanzania Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

    No reform no election
Back
Top Bottom