Kwa tarafa za Leo
Madiwani wa upinzani WA kata zote za tarafa ya mkuranga wamefatwa na kutishwa au pesa
Ilo zoezi analiendesha MBUNGE WA Jimbo Abdallah Ulega
Lengo asipate Kura chache kama alivyopata 53% katika Kura za maoni za CCM
Mtendaji wa kata katika ya Mwandege, jimbo la mkuranga Mkoa wa Pwani, Ally Mkawa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Luguruni B katika kijiji cha lugwadu, Shukuru Mkumba Wameingia katika tuhuma za kumshawishi na kumtisha Mgombea wa Chama cha Act Wazalendo katika kata hiyo Ramadhani Lugome kujitoa...
Kufatia malalamiko na clip za video zilizokuwa zinatembea mitandaoni nchi nzima siku ya Jana. Clip za video zilizokuwa zinaonyesha wakinamama wa wanaccm wa wilaya ya mkuranga. wakiomba Masada na kulalamikia kukamata Kura feki wilayani humo katika mchakato wa Uchaguzi wa udiwani viti maalumu...
Kufuatilia Tetesi za jana kuwa uchaguzi wa leo mkuranga utakuwa na wizi wa kura
Leo hii vyombo na masikio yalikuwa wilayani humo
Na leo kweli yametimia ambapo taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi ya wananchi wamekamata kura feki ambazo tayari zilikuwa zimepigwa kwa niaba ya baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.