kila mtu na bahati yake ndugu zanguni kila biashara inalipa mambo ya hii serikari ni toka enzi na mifumo ni hiyohiyo tu ukiiogopa huwez fanya kitu hata HUYO MULOKOZI ashafanya biashara kibao zakagoma we umefanya ngapi kama ela unayo wekeza huwezi jua
Habari wana JF,
Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi shule lakini mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe kwa sasa naombeni kazi yoyote na MUNGU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.