Nimepanda hiyo arashani f1 lakini nilichogundua inachukua zaidi ya siku 60 kwa dsm tofauti na mvegu nyingine kama sukari f1.
pili tikiti zinaoasuka ovyo shambani. kila siku nikienda shamba sikosi si chini ya tikiti 10 zinepasuka na siku bado. Mbegu haziuzwi dukani ingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.