Recent content by kinje ketile

  1. K

    JamiiForums Tanzania Full Time: Mashujaa FC 0-2 Yanga SC | Ligi Kuu ya NBC l Lake Tanganyika | 13.6.2026

    Wachezaji wote timua...hakuna mchezaji pale Yanga... hata vitimu vidogo mtu unastrago..!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Duh, Leo Mbegu ukuta anaumiliki. Aerial balls, Open spaces, One Vi one zote anawin... ni hazina Kwa Taifa..
  3. K

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Huyu Mbegu Sijamuelewa... Mbegu..? Ni yule wa Simba?
  4. K

    JamiiForums Tanzania FT: Simba 1 - 0 Dodoma Jiji | Uwanja wa KMC, Mei 24, 2026

    Ubingwa baba.! Mechi nne au Tano mkononi sio ndogo..Lolote linaweza kutokea ukizingatia Anayeongoza ana beki kama Mwamnyeto na dogo fupi kama Yao yao
  5. K

    JamiiForums Tanzania Loemba, Duchu na Selemani Mwalimu.! Mmepigaje pale.

    Gari Limewaka, Mechi hii Ya Simba na TRA imeleta mtazamo tofauti. Sasa zote zina hofu kukutana na Simba. TRA kutoka kumfunga Azam bao 4,halafu naye akubali kipigo cha nne bila, inaogopesha
  6. K

    JamiiForums Tanzania Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC : CRDB Confederation Cup : 12/4/2026 Sheikh Amri Abeid Arusha

    Play station, mpira unatafutwa kwa tochi. Hizi ni adhabu mbili kwa DFC
  7. K

    JamiiForums Tanzania Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC : CRDB Confederation Cup : 12/4/2026 Sheikh Amri Abeid Arusha

    Baada Ya Kubana, sasa Wanaachia. Dk 60 SSC 2 - 1 DFC
  8. K

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Yanga SC 3-0 Prisons | KMC Complex | 04/04/2026

    Apigwe tu, hamna namna...! Kwani nani alimtuma asajili wazee na magarasa? Acha adundwe!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Dah Dube nae anatoka mapema hawezi kuendelea..Naona wamewapiga kimbola wachezaji sasa aisee...

    Arajiga asipochezesha mechi za Yanga, Yanga anadondosha points
  10. K

    JamiiForums Tanzania Dah Dube nae anatoka mapema hawezi kuendelea..Naona wamewapiga kimbola wachezaji sasa aisee...

    Huyu mbona anafahamika 'Spana mkononi'....!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Hii ndio 1st eleven Ya Yanga....
  12. K

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Mmm ...Eti Gongowazi wana possession kubwa 52% kuliko Azam 48% wakati kilichoonekana Yanga wanatafuta mpira kwa tochi.!
  13. K

    JamiiForums Tanzania FT: Tanzania Prisons SC 0-1 Yanga SC | Ligi Kuu ya NBC | Kwa Yanga Hii Mtasubiri Sana

    Nsajigwa anafurahi.... Kocha wa boli......
Back
Top Bottom