Kuna thread ukipitia hapa hapa jamii forums hao ni kundi la matapeli hawana hata ofisi na walianza kutangangaza hizo kazi za uongo na kula pesa za watu tokea january mwaka huu poleni na kwa akili ya kawaida huwezi lipwa mill 4 kwa mwezi kwa kazi yao hiyo hata kama ni kweli hawawezi kukwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.