habari desmond, kwanza pole kwa kufiwa na mama yako. mimi pia nilifiwa na baba yangu na alikua akipokea pension ya mwezi, je ulifanikiwa kujua utaratibu kama inawezekana wategemezi kupata chochote kutoka kwenye mfuko wa hifadhi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.