Huyu mzee geranija yupo anamakazi yake kinondoni karibu sana na mwanamboka lakini pia anapatika geita mjini maeneo ya bomani. Kijana wake mmoja ndo anamili duka kubwa la vitu pale mwanza .book point zamani likitwa King bookshop. Namba ya kijana wake ni 0754367172 ukipigia huyo atakupa habari za...
kwenye mchakato wa katiba mpya tupendekeze kufuta mapumuziko siku zote ziwe za kazi ila kila mtu akaabudu katika siku yake kwa ruhusa toka kazini kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.