Chadema haiwezi futika kigoma, hata mimi nipo kigoma mbona tupo wengi hatujakimbia kumfuata huyo msaliti. kimsingi huyu zzk kashafutika kwenye jukwaa la siasa na amejimaliza kabisa. Chadema daima ipo na itaendelea kuwepo na wasaliti wote wa chama lazima waondolewe. Kasulu watu kama kina Mwalimu...
Haya majitu yanayoandika ***** kama huu ni magamba, yamefanya unyama halafu yanaleta umbeya kwa chademe. Nawalaani wote mnaoandika mifuke ya design hii
Wanaokanusha wote ni wahusika wa hili jambo na mimi namkubalia aliyeleta huu mjadala kwani hao jamaa wana roho ya mauaji kabisa ndo maana madakitari wakawagomea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.