Recent content by kingqusa

  1. kingqusa

    SoC03 T.A.I - Mkombozi Mpya Wa Taifa la Tanzania

    Hivi ndivyo ambavyo T.A.I atavyolikomboa Taifa na Ndoto ya Tanzania. Mfalme Suleiman kama hadithi za vitabu vya Imani vituelezavyo, alikuna ni mfalme wa kale kuwahi kuishi na kutambulika kuwa mfalme mwenye hekima, maarifa na busara nyingi kuwahi kuwapo. Naye kwa busara yake, katika kitabu cha...
  2. kingqusa

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Hongera sana brother, Ubunifu huu ni mzuri, makala nzuri pia. Hongera sana
  3. kingqusa

    SoC02 Teknologia na Utamaduni Bora: Suluhu Bora ya Hitaji la Mabadiliko Yenye Tija Tanzania

    1. UTANGULIZI Jamii ya Tanzania kama jamii nyingine za nchi za Afrika zenye historia ya kutawaliwa, inakumbwa na changamoto ya kustahimili maendeleo endelevu katika kila secta, iwe Elimu, Afya, Uchumi, Uwekezaji, Kilimo, Viwanda na hata Utalii. Licha ya uwepo wa mifumo bora ya kiuongozi na...
Back
Top Bottom