Recent content by kingjohn255

  1. kingjohn255

    Wanahitajika wawili waliosomea ‘hotel management’

    Ndugu, wanatakiwa vijana wawili waliosoma Hotel Management Au House Keeping na wenye vyeti vya fani hizo kutoka chuo chochote hapa nchini Tuma maombi yako ukiambatanisha CV na Copy ya vyeti vyako kwenda email ifuatayo joexgroup@yahoo.com atakaekidhi vigezo wa kwanza ndio atapigiwa simu kwa...
  2. kingjohn255

    Mtaalamu wa Graphic Designer anahitajika

    Rejea mada tajwa hapo juu, anahitajika kijana mzoefu na mjuzi wa Graphic Desgner ambae ni mzoefu wa graphic na mtengeneza maudhui ya mitandaoni kama unahisi una uwezo na sifa basi tuma CV yako kupitia email joexgroup@yahoo.com Mwisho wa mombi ni May 31/2025 2359 NB: Kijana awe na makazi ya...
  3. kingjohn255

    Ajira ya muda mfupi kwa Afisa Mauzo na Masoko

    Anatafutwa kijana mmoja wa mauzo na masoko kwa ajira ya mkataba wa muda mfupi. Vigezo: Awe na uelewa na maswalawala ya forodha (uagizaji na uondoaji wa mizigo bandarini) Jinsia ya kike au kiume mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 45 anaeweza kujisimamia mwenyewe Kama umevutiwa au una sifa za...
  4. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Umesema anauza gari mkuu au alishapata mteja wa brevis na mark x
  5. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Uko mule mule tu mkuu, hapo kilichobadilika ni body ya gari tu lakini engine ni zile zile tu na uwezo wa kuihudumia upo vyema tu
  6. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Tofauti ni body ya gari tu ila vingine vilivyobaki vinafanana tu
  7. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Mkuu kwa mazda Atenza ya mwaka huo andaa min 36Milions vipuri bado havijawa vingi sana lakini mafundi wapo japokua sio wengi kiivyo
  8. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    HIyo ni gari ya kazi mkuu haina shida, kumiliki maana lazima itaongeza thamani, zaidi
  9. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Gharama ya kuagiza honda fit ni angalau uwe na 12milions, bei ni pamoja na usajili wa TRA, Bandari na gharama zote za clearing
  10. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Gari za kijeruman zinahitaji kuzijali tu katika service maana ni gari nzuri na ngumu, tatizo mafundi sio wengi sana wa kuweza kuzitengeneza zikiwa na shida but gari za Ulaya ni nzuri na ngumu sana
  11. kingjohn255

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kununua gari wanazotamani kuwa nazo, lakini ukweli ni kwamba matumizi ya gari kuna muda ni makubwa kuliko uhalisia wenyewe, mimi kama muagizaji na muuzaji wa magari leo napenda kuwashauri jambo moja kuhusu fomula ya kutumia gari. Nunua gari ambayo unaweza...
Back
Top Bottom