Habari wakuu, naombeni msaada na ushauri juu ya biashara ya kusafirisha makaa ya mawe.
Nataka kununua gari ili nianze usafirishaji wa makaa ya mawe.
Natanguliza shukrani kwa wote watakao changia mada hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.