Recent content by king otty

  1. K

    Eti Rage katumwa na wananchi wa Tabora!

    Katumwa nini? Kwanza kiongoz gani mwenye uchu wa madaraka, siasa yeye mpira yeye, ata huo mpira umemshnda kazi kuaribu 2 maisha ya wana tabora! Tangu lini mkimbizi akawa na uchungu na wanachi halali wa nchi aliyopo?
  2. K

    Mwanamke wa kikuria anayehitaji mme wa maisha! Amepata,soma hapa...

    Hivi kweli kabisa una amini unaweza kupata mke mwema kutoka humu? Bora ukamwoe yule yule uliechaguliwa na wazazi wako MARA
  3. K

    Wale wa tabora

    Jaman kwa wale wanaoishi tabora tuwe angarau tunakutana ajiri ya kubadirishana mawazo ya kimaisha na vitu vingine
  4. K

    Nianzeje kutafuta mke???

    Tafuta la udongo maana la umeme ndio hivo tena luku mizinguo, la mkaa nalo mariyasili wanakaba had kivuri cha mti.
  5. K

    Natafuta Girlfriend

    Hawa wachumba wa kwenye mitandao hawa ni ugonjwa wa moyo tu!
  6. K

    Jamani natumai mwaka mpya unakuja vizuri namarengo mliyojiwekea"

    Samahani jamani naombeni mnisaidie kitu kimoja, kwa baadhi ya wanawake sehemu zao za siri huwa wana kitu kama kingozi kimetoka nje kama kidore! Je hicho ndio huwa kisimi chao kulingana na maumbile yao? Naombeni majibu yenye ukweli ndugu zangu
Back
Top Bottom