Pumba tupu hapo, hakuna ukweli wowote!! Kama huna cha kusema mbele ya jamii bora ujae kimya kuliko kupotosha umma kwa malengo yako bnafsi! Mkiadhibiwa mnasema serkal mbaya wakat nyie wenyew ndo wabaya kulko
Unahis maandamano yakifanyika,kwa jazba anaeumia n nan!?
Sio Chadema wala ccm bali n wew, mm na yule! Kwahyo hili swala sio la kushupaza shingo!
Usikaze msuli kama upaja wako mdogo! Alisema "Fid Q"
Kwahyo wew na ukuta lengo lenu n kumkomoa Magufuli!?
Akili chafu xana hii, uchumi ukidorora tunaathirika wore na wew ukiwemo!!
Sio jambo la kushangilia hili aise, tatzo la ndugu zetu Chadema hupenda kutafuta huruma ya wananchi kana kwamba wanaonewa xana wakat wao ndo wakwanza kwenda kinyume na...
Ni lazma ifike wakat damu ya Utanzania izunguke akilin mwa viongoz wetu ili kulinda rasrimali zetu kiyakinifu!! Haijalishi ni kigogo gan anaguswa na tuhuma fulan, lazma achunguzwe ipasavyo ili kuweka bayana uhalali au uharamu wa jambo, mkataba au makabaliano fulan!
Kuhusu Sakata hili la Lugumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.