Recent content by KING KUBE

  1. K

    Kuitwa kwenye usaili Serikalini

    hapana kada hiyo katika majina hayo
  2. K

    Kuitwa kwenye usaili Serikalini

    yanaonekana ndugu angalia vizuri utaona majina angalia sekretaliati ya ajira call for interview utaona.
  3. K

    Kuitwa kwenye usaili Serikalini

    Wadau ambao mliomba kazi serikalini kupitia Sekretariati ya Ajira orodha ya majina imetoka yakiainisha siku tarehe na mahari usaili utakapo fanyika. kada hizo ni,RANGER ii MWEKA, TANTRADE, KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI; KATIBU MKUU MIFUGO NA UVUVI,KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI,WATENDAJI WA MITAA...
  4. K

    kwa nafasi za kazi mpya zilizotangazwa utumishi juma hili tujuzane

    serikali imetangaza nafasi za kazi juma hili nafasi sekta tofauti na wizara zake husika tovuti ya utumishi wa umma .kwa alieona tangazo hilo atupe maana wengine tulikuwa vijijini huko ndio tumeludi mjini.ni zaidi ya nafasi 200 zimetangazwa.hizi habari nilijulishwa na mdau wangu ila kwa sasa yeye...
  5. K

    hizi ajira mpya nani kazisoma

    jamani nani kaona tangazo la nafasi kibao serikalini weekend hii utumishi atujuze maana wengine tunafungua lakini atuoni.
Back
Top Bottom