Recent content by King kimario

  1. K

    PENDEKEZO: Rais Magufuli, anzisha Vijiji vya Ujasiriamali

    Mawazo mazuri mnoooo kwa taaifa letu, serikali itasema bajeti haitoshi
  2. K

    Uchaguzi wa Meya Dar: Isaya C. Mwita(CHADEMA) aibuka mshindi

    Ukawa 84 mkuu acha kutulisha tango pori
  3. K

    Uchaguzi wa Meya Dar: Isaya C. Mwita(CHADEMA) aibuka mshindi

    Meya wa jiji la dar, isaya (ukawa) 84, ccm 67, zilizoharibika 07.
  4. K

    TANZIA: Mbunge John Mnyika, afiwa na Baba yake Mzazi, Mazishi kufanyika Alhamis

    Pole mnyka....ila yupo kwenye uchguzi wa meya japo kafiwa
  5. K

    Yaliyojiri makao makuu CHADEMA mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa habari

    MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA ILIYOKUTANA MACHI 1, 2016, JIJINI DAR ES SALAAM Kamati Kuu ya Chama imesema kuwa tangu utawala wa awamu ya tano chini ya Serikali ya CCM ikiongozwa na Rais John Magufuli uingie madarakani, misingi ya uongozi bora na demokrasia ya vyama vingi imeyumba...
  6. K

    Maazimio ya Chadema leo

    MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA ILIYOKUTANA MACHI 1, 2016, JIJINI DAR ES SALAAM Kamati Kuu ya Chama imesema kuwa tangu utawala wa awamu ya tano chini ya Serikali ya CCM ikiongozwa na Rais John Magufuli uingie madarakani, misingi ya uongozi bora na demokrasia ya vyama vingi imeyumba...
  7. K

    Naibu Waziri Jafo atoa wiki 3 kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala kuboresha ukusanyaji mapato

    Wafanye yote lakini ukawa tutayalipua tu...nachoona hapo nikwamba wanajaribu kufifisha juhudi za upinzani kupata mwanya wa kuyatekeleza hayo
  8. K

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Lugha itasaidia nini katika maisha yako ... Mwanasaikolojia mmoja alisema ni rahisi sana kuperform kwa kutumia lugha yako ya kuzaliwa kuliko lugha aliyojifunza
  9. K

    Yaliyojiri: Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Kasema saa ngapi acha uongo ww sema katumia kiswahili kuhutubia ila sio kukiidhinisha kumbuka yule ni raisi wa tz sio EAc
  10. K

    Mbowe: Tumechoka!

    Huu ni uhuni wa kisiasa tu na inashangazwa sana pm, vice na preda wote wapo lkn no say...
Back
Top Bottom