Naomba kufahamu, MSHAHARA KUTOHAMISHWA kwenda kwa Mwajiri mpya baada ya kuhamisha Mwaka 2023 kwenda HALMASHAURI nyingine.
Shida Nini, HR wa zamani ukimfuata anasema wewe siyo mtumishi wangu TAARIFA ZAKO ZA UHAMISHO nimeshatuma Dodoma TAMISEMI.
OR TAMISEMI, Dodoma kuna nini, naomba kujuzwa wadau. Mimi ni mmojawapo wa watumishi niliopata uhamisho toka kwa Katibu Mkuu TAMISEMI, nikihamia HALMASHAURI nyingine. Cha kushangaza, tangu kuripoti kituo kipya mwezi Oktoba 2023, bado CHEKI namba kwenye MFUMO wa UTUMISHI (ESS) inasoma kwa Mwajiri...
Wadau tujuzwe hili kwa ufafanuzi.
Nini shida kwa watumishi wa umma, waliohamishwa na Katibu Mkuu, TAMISEMI kwenda HALMASHAURI zingine, hasa walimu kuto hamishwa mishahara tangu walipohama Kati ya September na October 2023.
Kwa maana kwamba CHEKI NAMBA bado zinasoma kwa Mwajiri we zamani kwenye...
Mimi NI mwalimu idara ya elimu Sekondari kwa zaidi ya miaka 12, Nilijiendeleza na kuhitimu kwa ngazi ya PGDE. Kabla ya ngazi hii, nilijiendeleza na kuhitimu shahada ya Uongozi na Utawala.
Kabla ya shahada hii ya Uongozi, nilikuwa na diploma ya ualimu. Je, naweza kuwa na vigezo kuhamia chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.