Wadada wengi huwakimbia wakaka wanaojali wasio na uwezo mkubwa wa kifedha na kuwafwata wenye pesa hata kama hawajali...baadae wakitendwa na wenye pesa hurudi kwa wanaojali kufarijiwa...maumivu yakiisha wakisahau huenda tena kwa wenye pesa![emoji4] [emoji4] [emoji4] ni mtazamo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.