Mkuu wewe kama story writer unawez kuchagua maana ikichezwa na wabongo tu haitanoga sana itafutiwe kidogo na Wataalamu nje ya ulingo wa bongo na msaada kdg niifikishe kwa kijana ndg yangu mwigizaji kisha afikishe wazo letu kwenye idara ya filam
Aseee Mr Singanojr you are the best of the best. A content creator kias kwamba tangu nimekutana na hii simulizi nimejitahidi kupitia kila siku mpaka leo nmefikia kipande cha kwenda sambamba na wewe. Big up sana bro! Kongole nyingi kwako. Though kuna vijana wasiojua kazi ya utunzi wanaleta lawama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.