Aisee mimi pia nilipatwa na hii changamoto, ni mwezi unakaribia kuisha sasa bila kupata mrejesho wowote. Mara mbili kila nikikaangua vocha zao namba hazionekani, niliwapigia simu wakaniambia wanashughulikia lakini mpaka leo kimya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.