Recent content by kindagaten

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa kike kutoka Vyuo Vikuu wanafanya kazi gani?

    Kitambaa cheupe na kwingineko
  2. K

    JamiiForums Tanzania MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Mzigo wa Spirit umekamatwa jana tarehe 15/04 /2025 saa 10.jioni maeneo ya uchira. Vijana wa FAST TEAM wanekaa na gari mpaka saa 12. Jioni, Manager kupitia Msaidizi wake akapiga simu kuwaambia vijana wa fast waachue mzigo, na truck imeenda kushusha kwenye kiwanda Cha tajiri huyo Njia panda ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Nitauweka hapa punde tu, ninaushahidi wa kutosha, nakamilisha mambo machache. Ni vema tuwe na wazalendo wa kweli wa Nchi yetu, tutafichua Kila Kona tuilinde Nchi yetu na mafisasi
  4. K

    JamiiForums Tanzania MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Swala la uzalendo hukulisoma nini? Pesa zikatujengee madaraja
  5. K

    JamiiForums Tanzania MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Asipo jirekebisha nitaweka ushahidi wote hadharani. Mm ni mlipa Kodi kindakindaki alafu mtu anakwepa Kodi kizembe kutunisha matumbo yso
  6. K

    JamiiForums Tanzania MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Manager wa TRA wa mkoa wa Kilimanjaro kushirikiana na wakwepa Kodi, Kuna vijana wamekamata mzigo ambao haujalipiwa Kodi na manager akawapigia vijana wa fast team kuwa wamwachie , na mzigo unashushwa sasahivi kiwanda Cha spirit pale Njia panda ya Machame. Wahusika mfatilieni huyu Manager wa Mkoa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu maeneo kwa Dar es Salaam wanapofundisha mafunzo ya karate!

    Nenda WMCA pale, au opposite na makaburi ya kisutu, Kuna shule pale siitaki kuitaja jina , jioni pale utawakuta wakufunzi
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    Na huyu pia kazi yake ni kushinda mtaani, angejusje huyo jirani yake ansshinda ndani, na anskula nini? Umbeya jasband!! Mwenzio labda anafanya biashara mtandao!! Wewe unakariri maisha ya watu? Punguani mmoja wewe
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nakereka sana na magari ya Dar kwenda Moshi kuruhusu wauza machungwa kufanya matangazo ndani ya mabasi

    Habari ndugu zangu, Ninakereka sana na tabia ya baadhi ya mabasi yanayofanya safari kati ya Dar es Salaam na Moshi kuruhusu wauzaji wa machungwa kupanda ndani, hasa mabasi ya TILISHO na BM. Fikiria abiria wamelala usiku wa saa sita au saa saba, ghafla mtu anaingia na kuwasha kipaza sauti...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini ukienda hospitali idadi kubwa ya wanaotibiwa ni wanawake?

    Hata kwenye maombi Kwa akina mwamposa wengi ni wamama Ataa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

    Ndio kwanza naisikia hii
Back
Top Bottom