Tatizo ni watu wamesha athirika kisaikolojia, kutokana ha hali ya usafiri jijini, sasa hata wakiwa watatu kituoni zima watagombea tu kuingia.
Na hiyo milango ya hayo mabasi kweli sijui kama itadumu.
Mi nadhani masikio yana umuhimu sana wakati wa kuendesha gari.
Unaweza kupigiwa honi na gari jingine kama hukuisikia unaweza kusababisha ajali.
Wakati unaendesha gari lako unatakiwa pia kusikiliza sauti ya injini na gari kwa ujumla. Utakaposikia mlio amabo sio wa kawaida utaweza kupaki gari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.