ninamsichana m1 nampenda na anaonyesha kunipenda lakni nligundua ana mchepuko(mwanaume) ambae alikuwa nae kabla sijawa nae(yan ex) kimahusiano lakni baada ya kugundua wakaachana ili abaki na mimi pia namjali na ananijali ila simwamini sana pia anabadilika badilika (kigeu geu) ndugu zake...
MKE mwema anatoka kwa bwana" usiku mmoja tuu unalia kuna wanaume wanakaa wiki mbili na mwanamke still unavumilia...kama ulmpnda ndo ivo ila we ulkua kimaslahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.