Huyo anaye mchafua Mhe, Zambi ni Huyo anaye jifanya kamkaba koo kumbe anajitekenya mwenyewe. Zambi ubunge atashinda na ndio maana Mtela aliamua kujisalimisha. Huyo Mwenisongole ndio anaye hangaika na makundi ya Urais leo kwa Lowasa kesho kwa Pinda mara kwa Wasira. Mwenisongole ni Sheeeeedah...
Inasemekana wapo wanapanga maandamano yaliyo tangazwa na Mbowe siku ya Birthday yake. Vijana wengi tunao hapa tunawachora wanasema waandamane kwanza wao na familia zao ndipo wao watawaunga mkono. Wengine wanasema Dkt Slaa apeleke kwanza pesa alizo muahidi mjane wa Mama Mwangosi ndipo aje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.