Sasa nashaangaa mnaanzisha xenophobia behaviours kwa majirani wakati mnategemea nje ya nchi yenu you guys are funny. Last time nilikuwa Zanzibar kuna baa nimekutana na wadada wa kikenya wanajiachia tuu na lugha yao pendwa English ,wameesahau kabisa nyumbani kibera, hahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.