Tatizo watz wengi wetu ni wajinga mno.
Tunasifia kitu hata hatujui madhara yake.
Nimekutana na mtu mmoja anamsifia Rais Magufuli.
"Rais huyu noma sana...ni kiboko....aendelee hivi hivi....hakuna kuongeza mshahara toka aingie madarakani.....tutaheshimiana tu."
Yeye ni mchuuzi anauza matunda...
Habari!
Hiki ni kiwanda cha miwa cha mkulazi(Mbigili).
Hapa kiwandani baadhi ya miwa imekomaa lakini kiwanda haifahamiki kitaanza lini usindikaji.
Ni kiwanda ambacho kipo wilaya ya Kilosa, ujenzi wake unasuasua sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.