Recent content by Kimalingano

  1. K

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili; 1. Kiongozi yeyote (kama anavyofanya Mwigulu) anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia, 2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya...
  2. K

    Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili; 1. Kiongozi yeyote anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia, 2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya 2030.
  3. K

    Shahidi wa ziada kesi ya Lissu ASP Mahamba kumbe ni marehemu

    Mimi naamini majina yanafanana kwani wale Waendesha Mashtaka wa serikali walisema huyo shahidi wanaye tayari. Maana yake siku ile wangekubaliwa ombi lao la kuongeza maelezo ya ushahidi angetoa huo ushahidi.
  4. K

    Inafedhehesha, kanisa Katoliki na sadaka zote hizo kuomba msaada Serikalini kumsafirisha marehemu Pengo!

    Nilichoelewa kutoka kwa Nchimbi ni kwamba kilichohitajika kutoka kwa Rais ni idhini ya kukodi ndege ya wagonjwa. Na siyo msaada wa kugharamia ndege hiyo.
  5. K

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    Naona ametangaza vita na sisi wana Kizimkazi
  6. K

    Ziara za Waziri Mkuu: Uozo wa mifumo, rushwa ufisadi na matumizi mabaya ya kodi zetu

    Mbaya zaidi hakuna anayemtilia maanani. Ni kwa sababu hana mamlaka ya kimaadili.Yeye mwenyewe haamini kama anamaanisha kwa sababu naye ni fisadi mkubwa.
  7. K

    CUF mambo si shwari, Mohamed Ngulangwa na wenzake wawili wakamatwa na polisi kwa kuvuruga kikao cha baraza la chama

    Msemo wa wahenga kuwa "what comes around,goes around" unatimilika kwenye hilo sakata la CUF. Prof.Lipumba alimfanyia hivyo hivyo Maalim Seif.Akashirikiana na Serikali kumhujumu Maliam. Sasa yeye ndiyo anafanyiwa yake yale.
  8. K

    Evance Kamenge: CCM ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake itatoka madarakani

    Mbona ilishatoka kwenye hiyo misingi.
  9. K

    Wanasheria naomba usaidizi wenu: Hivi mashahidi wa jamhuri katika case ya Lisu wanataka ku establish nini?

    Kwa kifupi ni afadhali kesi ya Mbowe kulikuwa na ushahidi kidogo wenye mantiki. Lakini ushahidi wa kesi ya Lissu hata flavour kidogo tu ya ushahidi kuhusiana na kosa la uhaini hakuna.
  10. K

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Huyu Afande Polepole hayuko serious kwa kweli. Eti anasema jana alipita Kigamboni alipo mdogo wake Polepole,si angemchukua. Halafu hivi inawezekanaje Polepole akawa bado yuko hai? Lazima hao jamaa walishamuua.
  11. K

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    Wahusika na biashara hapo kisiwani wachangamkie kujulikana kwa kisiwa hicho.Sasa hivi watalii wataongezeka.
  12. K

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Hao ni wakinga ambao anasa siyo desturi zao. Lakini hata matajiri wengi akiwemo Dangote huwa wanaishi maisha ya kawaida tofauti na kiwango cha utajiri wao. Matajiri feki kama akina Chief Godlove nk ndiyo huwa wanaishi maisha ya kuigiza kama futuhi.
  13. K

    Sioni nia njema ya Makonda kugawa fedha kwa Content creator zaidi ya kutaka kudhibiti maudhui Yao kama wasanii na waandishi walivyouwawa kimaudhui

    Tayari baadhi ya wanufaika wameanza kazi.Naona wanamshambulia kila anayekosoa Serikali au CCM hata kama ni hoja ya tofauti kidogo tu.
  14. K

    Hii Obsession yake kwa Kanisa Katoliki sio ya kawaida. Mwambieni tu hata afanyaje, wana ushahidi wa kutukuka juu yake lazima utamzamisha vilivyo ICC

    Father Kitima alishawaambia ukienda kwa Papa moja kwa moja utarudishwa tu huku. Kwa hiyo,wanaamini wanaweza kumhadaa Papa huku akina Kitima walishampelekea taarifa kamili.
  15. K

    Rais, hivi kama Butiku alifananisha TISS na watekaji tarehe 29/10; Mimi ni nani nisiwafananishe na VIBAKA?

    Mzee Butiku kama ametumwa na akina Samia hatakuwa asset,bali liability kwao. Anauma na kupuliza na kuna maneno baadhi hayaeleweki. Kwa mfano,hasemi alipoitwa na Rais aliambiwa nini. Pia haelezi nini msimamo wa Taasisi yake kuhusiana na matukio ya Oktoba 29. Lakini alichonivutia ni pale aliposema...
Back
Top Bottom