Mimi naona wenzetu Chadema wana demokrasia zaidi ya sisi CCM.
Wao wamesubiri hadi kesi iishe mahakamani.
Lakini CCM hata mahakamani asingifika,angeondolewa mapema kabisa kama ilivyokuwa kwa Malisa.
Kero karibu zote anazo sikiliza ni saizi ya Mtendaji wa kijiji,kata au Mkuu wa wilaya.
Waziri Mkuu anaogopa kutatua kero za ufisadi mkubwa kwa sababu karibia wote yeye binafsi alihusika alipokuwa Waziri wa fedha.
Kwa hiyo anaogopa kuwashughulikia mawaziri na makatibu wakuu kwa sababu hawatamwelewa.
Nadhani baada ya hii Tume kukamilisha kazi yake itapendekeza polisi wafanye upelelezi ili wahusika wapelekwe mahakamani.
Kwani wao Tume hawatekelezi,bali wanachunguza.
Kwa kufuatilia mataifa mengine,nimegundua kuwa Samia anaweza kudumu sana kwenye urais kwa sababu wanaomzunguka wananufaika naye.Kwa hiyo watamlinda kwa kufa na kupona ili warndelee kufaidi vya wizi.
Angalia mataifa kama Cameroon,Uganga,Congo Brazaville nk.
Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili;
1. Kiongozi yeyote (kama anavyofanya Mwigulu) anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia,
2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya...
Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili;
1. Kiongozi yeyote anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia,
2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya 2030.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.