Recent content by Kimalingano

  1. K

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Mimi naona wenzetu Chadema wana demokrasia zaidi ya sisi CCM. Wao wamesubiri hadi kesi iishe mahakamani. Lakini CCM hata mahakamani asingifika,angeondolewa mapema kabisa kama ilivyokuwa kwa Malisa.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Kero karibu zote anazo sikiliza ni saizi ya Mtendaji wa kijiji,kata au Mkuu wa wilaya. Waziri Mkuu anaogopa kutatua kero za ufisadi mkubwa kwa sababu karibia wote yeye binafsi alihusika alipokuwa Waziri wa fedha. Kwa hiyo anaogopa kuwashughulikia mawaziri na makatibu wakuu kwa sababu hawatamwelewa.
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Nadhani baada ya hii Tume kukamilisha kazi yake itapendekeza polisi wafanye upelelezi ili wahusika wapelekwe mahakamani. Kwani wao Tume hawatekelezi,bali wanachunguza.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    Mwinyi anafanya kazi ya kutukuka kabisa.Aongezewe muda
  5. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Mwambegele umeshusha hadhi ya Ujaji na tume yako ya Uchaguzi-Jaji Warioba asema matokeo ya uchaguzi ni FAKE!

    Amesema Tume ya uchaguzi ilipiga kura au ndiyo ile ya "Oktoba tunatiki"
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Hili siyo jipya.Gazeti la Raia Mwema limesharipoti zaidi ya mara mbili kuwa Mhe.Migiro aliomba apumzike
  7. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA diaspora seeks talks with Donald Trump and rights bodies over alleged abuses in Tanzania and the release of Tundu Lissu

    Mbona unatusabishia taharuki.Huo ni uchochezi wa kiwango cha uhaini.Usirudie tena.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kongole Khalifa wa The Chanzo

    Naunga mkono hoja. Huyu anafuata nyayo za akina Jenerali Ulimwengu kwa mbali.Ingawa bado ni mapema mno kumpatia kongole la mwisho.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Baadhi ya viongozi wamshauri Heche asisitize kesi ya Lissu ipelekwe haraka na si kuitisha maandamano

    Naona hawa hawatofautiani na Jecha kudhamiria. Wanachatofautiana ni namna ya uwasilishaji pekee.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Wenzenu Shinyanga jana wamewekewa maji kwenye magari yao. Na nyinyi mkiendelea kuhoji mambo ya tani tutawawekea lami Ili mpate uelewa.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Taifa la Ovyo namna hii!

    Kwa kufuatilia mataifa mengine,nimegundua kuwa Samia anaweza kudumu sana kwenye urais kwa sababu wanaomzunguka wananufaika naye.Kwa hiyo watamlinda kwa kufa na kupona ili warndelee kufaidi vya wizi. Angalia mataifa kama Cameroon,Uganga,Congo Brazaville nk.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili; 1. Kiongozi yeyote (kama anavyofanya Mwigulu) anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia, 2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili; 1. Kiongozi yeyote anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia, 2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya 2030.
Back
Top Bottom