Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili;
1. Kiongozi yeyote (kama anavyofanya Mwigulu) anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia,
2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya...
Kwa maneno hayo ya Makonda napata majibu mawili;
1. Kiongozi yeyote anayejituma kuwatumikia wananchi,ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi,huyo ni adui wa Mama Samia,
2. Kama alivyowahi kusema Mange,Mama Samia ana nia ya kuendelea kutawala kama Rais baada ya 2030.
Mimi naamini majina yanafanana kwani wale Waendesha Mashtaka wa serikali walisema huyo shahidi wanaye tayari.
Maana yake siku ile wangekubaliwa ombi lao la kuongeza maelezo ya ushahidi angetoa huo ushahidi.
Nilichoelewa kutoka kwa Nchimbi ni kwamba kilichohitajika kutoka kwa Rais ni idhini ya kukodi ndege ya wagonjwa.
Na siyo msaada wa kugharamia ndege hiyo.
Mbaya zaidi hakuna anayemtilia maanani.
Ni kwa sababu hana mamlaka ya kimaadili.Yeye mwenyewe haamini kama anamaanisha kwa sababu naye ni fisadi mkubwa.
Msemo wa wahenga kuwa "what comes around,goes around" unatimilika kwenye hilo sakata la CUF.
Prof.Lipumba alimfanyia hivyo hivyo Maalim Seif.Akashirikiana na Serikali kumhujumu Maliam.
Sasa yeye ndiyo anafanyiwa yake yale.
Kwa kifupi ni afadhali kesi ya Mbowe kulikuwa na ushahidi kidogo wenye mantiki.
Lakini ushahidi wa kesi ya Lissu hata flavour kidogo tu ya ushahidi kuhusiana na kosa la uhaini hakuna.
Huyu Afande Polepole hayuko serious kwa kweli.
Eti anasema jana alipita Kigamboni alipo mdogo wake Polepole,si angemchukua.
Halafu hivi inawezekanaje Polepole akawa bado yuko hai?
Lazima hao jamaa walishamuua.
Hao ni wakinga ambao anasa siyo desturi zao.
Lakini hata matajiri wengi akiwemo Dangote huwa wanaishi maisha ya kawaida tofauti na kiwango cha utajiri wao.
Matajiri feki kama akina Chief Godlove nk ndiyo huwa wanaishi maisha ya kuigiza kama futuhi.
Father Kitima alishawaambia ukienda kwa Papa moja kwa moja utarudishwa tu huku.
Kwa hiyo,wanaamini wanaweza kumhadaa Papa huku akina Kitima walishampelekea taarifa kamili.
Mzee Butiku kama ametumwa na akina Samia hatakuwa asset,bali liability kwao.
Anauma na kupuliza na kuna maneno baadhi hayaeleweki.
Kwa mfano,hasemi alipoitwa na Rais aliambiwa nini.
Pia haelezi nini msimamo wa Taasisi yake kuhusiana na matukio ya Oktoba 29.
Lakini alichonivutia ni pale aliposema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.