Sure nitumie CV yako naweza kukuunganisha kwani nilichogundua huku kazi zipo zakumwaga ila wafanyakazi wapo wengi lkn wingi wa kazi ni mkubwa kushinda hiyo population ya foreigners wanaoingia Qatar
Habarini wanajopo,
Naomba kujua ukiwa na work Visa yakwenda nchi za watu kufanya kibarua. Unatakiwa uwe na documents zipi hususani nchi ya Qatar.
Na maswali gani utakayo kutana nayo
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.