Watu wenye dini nijibuni kwanini anakufa mtu mwenye dini yenu maskini kama alikuwa haji kanisani hamji kumzika hata kama watoto wake walikuwa waumini wazuri ila akifa boss mwenye imani yenu hata kama alikuwa haji kusali mnakuja kumzika bila maulizo kisa tajiri ni hii imekaaje au ndio kuchuja mbu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.