Wewe unaonekana hauna akili una mtindio wa ubongo. Kuna tofauti gani ya Muhaya na Munyambo? Na ulivyo mjinga umfahamu huyu Rugambwa ni kweli ni Munyambo sio Muhaya punguza ujinga kichwani mwako.
Kodi atulipi mdomoni kama unavyofanya mkuu. Sina ulka ya majivuno vyovyote utavyonichagulia nipo sawa kukubalia tu.
Unafikuri kila mtu akianza kutamba humu wengine si mtaanza kuwaamkia watu bila kuwafahamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.