Daktari ni wajibu kuwaona na nimeshapita huko hata hizo dawa nilojaribu ni zakuambiwa na madaktari, lkn wajua watu huzidiana kulingana na cases. Ushauri ninaohitaji ni kufikia tiba halisi. Nimechunguza pia nakuwaona hospital wengine wenye matatizo kama haya, wakihangaika.
Mzee pole, ila kumbuka dawa ya kwanza ktk mwili ni kuondokana na woga usio na msingi (phobia) jipe ujasiri na usijiogopeshe ukapime UTI na kisha Ukimwi ukipata ujasiri zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.