Recent content by Kilimo Kwanza

  1. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Naam: 1. Kwa sasa greenhouse zote tulizo jenga hapa dodoma, miche yake ina miezi miwili hadi mitatu, ikifika july nitaweka picha za hizo greenhouse zote maaana ndipo itakuwa mavuno. 2. Ndio namfaham huyo mtu ila hatuna mausiano naye wala hatufanyi kazi naye pamoja. 3. Kuhusu mchanganuo wa...
  2. Kilimo Kwanza

    Drip agriculture

    0683 644 480
  3. Kilimo Kwanza

    Drip agriculture

    Mkuu.. Pius, Kilimo cha umwagiliaji kwa matone(drip irrigation) kinawezekana tu kama unauhakika wa maji, maji sii lazima yawe ya kutoka kwenye kisima au bomba, unaweza tumia maji ya mto au bwawa vile vile pia, unachofanya ni kuya pima maji ili kufaham hali yake katika matumizi ya kilimo...
  4. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Mkuu Araway... tunaweza kukupatia drip irrigation system pamoja na kukufungia pia, ila ni muhimu kutembelea shamba kwanza ili kufaham layout kabla hatujakupa gharama, pia tutahitaji kujua aina ya zao utakalo panda, na source ya maji imekaa vp, mengine kama hayo, tuwasiliane tukusaidie maelezo...
  5. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    chief1.. hilo linawezekana, karibu sana.
  6. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Turbulence.. nashukuru kwa maoni yako, karibu utembele kazi zetu.
  7. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Mkuu.. Turbulence, unachokisema kilishasemwa na company moja hivi ya kilimo hapo Dar, walifanya hiyo research na wakatoa hayo majibu. Kikubwa ninacho faham kuhusu hiyo company wao ndio wanao uza greenhouse zisizofaa kwa mazingira ya Dar, na mikoa ya pwani kiujumla. Mteja niliyesema nilimtembelea...
  8. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Mkuu Zanzibar Spices.. Ni kweli kilimo cha kutumia greenhouse kwa maeneo ya pwani kinasumbua kama nyumba ya mimea haikutengenezwa kuzingatia hali ya hewa. Nyumba inahitaji iwe ndefu kwenda juu vya kutosha ili kuruhusu mzunguko wa hewa ndani wakati mimea imeshakuwa mirefu, pia juu kwenye paa la...
  9. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Ofisi zetu ziko hapa Dodoma mjini, nanenane. Mtaalamu tunaye ofisini, karibu sana.
  10. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Nyumba/mabanda ya mekwisha tengenezwa, tukifika eneo la mteja nikuunganisha vitu na kulisimamisha tu.
  11. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Unahitaji Greenhouse Ya Chuma(Steel) Chuma iliyoboreshwa kisasa dhidi ya kutu na inadumu kwa muda mrefu. Upana - mita 8 na Urefu - mita 15 Eneo la mita za mraba 120 Urefu wa kutoka chini hadi kwenye paa linapoanza - mita 3 Urefu wa kutoka chini hadi kwenye paa juu kabisa - mita 4.5 Mlango wa...
  12. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Kwa sasa tuna greenhouse zenye vipimo hivi, 8mx15m=120sqm na 8mx30m=240sqm, ila kama unahitaji iwe tofauti tunaweza kukupatia pia. Hakuna mtaalamu atakaye kushauri kupanda hoho na nyanya kwenye greenhouse moja kwa maana ni rahisi kuhamisha magonjwa na wadudu kutoa zao moja kwenda jingine. Ila...
  13. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Kaka, JUST na Zanzibar Spice nalifanyia hilo kazi, na kesho nitawapatia ya kiswahili, ingawa baadhi ya vitu hapo sina tafsiri zake za kiswahili, nitajitahidi kwa kadri nitakavyoweza tu.
  14. Kilimo Kwanza

    Unahitaji Greenhouse ya Chuma (Steel)

    Ofisi zetu ziko hapa Dodoma, ukihitaji huduma kwa huko Dar tunaweza kukufikia pia.
Back
Top Bottom