Wakuu
havi karibuni haba dubai tulikuwa tukiburudika na channel 2 za tanzania. TBC1 na Channel 10 katika satellite Eutelsat W2A na sasa imekuwa ya kulipia (Startimes TV).je ni taratibu gani za kupata smart card..........
natanguliza shukrani
kwa hapa nilipo siipati kabisa.iko mbali.kwangu nilikuwa napata uzuri katika Eutelsat W2A (10°E),lakini sasa imekuwa scramble.nahitaji nipate jinsi ya kuwasiliana ili hata nilipie
:angry:Wandugu
please kuna channel 2 za kitanzania zinapatikan katika Eutelsat W2A (10°E),TBC 1 na channel 10. kwa sasa zaonekana ni za kulipia. je ni taratibu gani za kupata smart card?
nashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.