Recent content by kilicho

  1. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kuwa hata na akili kidogo Mkuu yaku reason vitu,hivi vitu vinaonekana Viko juu ya ewezo wako Wa ufahamu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sijui hata kama unajua vzuri urusi na USA, historical background ya hizi nchi mbili,lakini pia vita ambavyo hizi two blocks (NATO &Russia) ungeelewa vzuri usingeandika ulichoandika, ushauri wangu soma Sana historia ya USA and Russia that's why wenye uwelewa wanasema vita ya USA & Russia hawezi...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

    Hata Mimi huyu Jamaa kanichekesha Sana [emoji1][emoji1][emoji119]
  4. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Anza Kwanza wewe kuacha utoto na ujenge hoja kama mtu mzima.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji1][emoji1]Ndugu yangu nashukuru Sana kwa kunisaidia maana Mimi nasikiaga uvivu kujibu watu wenye uwezo Wa wastani
  6. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji1][emoji1][emoji1]mkuui!!![emoji119][emoji119][emoji119]
  7. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ulichoandika ndio kinasadifu uwezo wako wa akili
  8. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    We Jamaa una uwezo Mdogo Sana Wa akili,sio kila kitu lazima utoe maoni yako,kama kitu hujui sio dhambi kukaa kimya
  9. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Zuzu huyo achana nae
  10. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hajakosea mkuu,hujui kitu kweli
  11. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Pale Mwanzo nilikuwa naamini hivyo but now kaka ni vita ya Marekani ,NATO ,uulaya Vs Russia. Ukraine ni mhanga tu kwasasa,hii ilikuwa inakuja tu ilionekana since Putin alivyochukua kijiti cha uraisi . Mwisho ya hii vita haitakuwa na mshindi Kati ya Russia Na USA ila Ukraine ndio hataweza tena...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Who told you Ukraine anajidefend?? Kwahyo mpaka Sasa unaamini Russia anapgana na Ukraine??
Back
Top Bottom