Nadhani ingekua vema tukaendelea kumtambua kama Dr., sijui kama bado yeye ni Padri. Watever the case, sikubaliani na huyo Bull hata kidogo mana ktk kuongea ana mengi tufauti na wengine, ILA KAMA KAWAIDA YETU MANENO NA MATENDO NI TOFAUTI SANA!!, Labda kama una ushahidi wa utendaji wake, na sijui...