inaumiza sana hii kitu, mimi nilimtembelea ndugu yangu maeneo ayo ya MSINGWA-SERENGETI yaaani nilikaa week mbili nikaoga mara tatu tu kisa uhaba wa maji, ni aibu sana kwa wizara ya MAJI na mbuge wa uko.
mkuu hauna kosa lolote maana haujamfata jamaa kwenye imaya yake (hapa namaanisha haujaenda kumfata uyo manzi kwa jamaa, ila manzi anakuja kwako), pili uyo demu anaonekana hana time na jamaa tena, wewe tulia nae vizuri kabisa na ukimaliza chuo mnaweza kuamia mbali zaidi ili uendelee kuitafuna iyo...
Jamani nazidi kuogopa, nimeenda kuiuliza CHATGPT amekuja na aya majibu
SWALI LANGU KWA CHATGPT
Je ni kosa na hailuusiwi kufanya lamination kwenye vyeti vya kielimu pamoja na hati nyingine za kiserikali ?
ChatGPT said:
Ndio, kwa kawaida hailuusiwi kufanya lamination kwenye vyeti vya kielimu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.