Recent content by kikoozi

  1. kikoozi

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Hesabu zako zimekaa vziuri sana, mengine ni mipango ya mungu.
  2. kikoozi

    KERO Maji ya DAWASA tabu Kinyerezi, Nakala kwako Mbunge, RC, DC, Waziri na kwako Mh Rais

    inaumiza sana hii kitu, mimi nilimtembelea ndugu yangu maeneo ayo ya MSINGWA-SERENGETI yaaani nilikaa week mbili nikaoga mara tatu tu kisa uhaba wa maji, ni aibu sana kwa wizara ya MAJI na mbuge wa uko.
  3. kikoozi

    Nauza Projector SONNY bei ya kutupa

    Uliiinunua mwaka gani, na umeitumia muda gani ili niangalie life-time yake kama imepungua nguvu au lah????
  4. kikoozi

    SERIKALI ya Awamu ya Sita kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikiwa kumtibu bure rapa wa muziki Chid Benz

    kila kitu ni serikali ya awamu ya sita serikali ya awamu ya sita serikali ya awamu ya sita upuuuzi tu.
  5. kikoozi

    GE2025 CHADEMA yaungana na kanisa la Katoliki katika maombi ya Kitaifa

    wewe mwenye big brain upo wapi
  6. kikoozi

    Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    safi sana kwa aliye fungua ili jukwaa
  7. kikoozi

    mpenzi wangu kaolewa, nina kosa lolote hapa?

    mkuu hauna kosa lolote maana haujamfata jamaa kwenye imaya yake (hapa namaanisha haujaenda kumfata uyo manzi kwa jamaa, ila manzi anakuja kwako), pili uyo demu anaonekana hana time na jamaa tena, wewe tulia nae vizuri kabisa na ukimaliza chuo mnaweza kuamia mbali zaidi ili uendelee kuitafuna iyo...
  8. kikoozi

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Jamani wanasheria njooni mnitoe kwenye hii TANZIA YA KI-LAMINATION ambayo inanikabili ili niweze kuwa na uelewa.
  9. kikoozi

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Jamani nazidi kuogopa, nimeenda kuiuliza CHATGPT amekuja na aya majibu SWALI LANGU KWA CHATGPT Je ni kosa na hailuusiwi kufanya lamination kwenye vyeti vya kielimu pamoja na hati nyingine za kiserikali ? ChatGPT said: Ndio, kwa kawaida hailuusiwi kufanya lamination kwenye vyeti vya kielimu au...
  10. kikoozi

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Asante na nahsukuru kwa kunielezea hiki ambacho kilikuwa kinanipa mashaka makubwa.
  11. kikoozi

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    acha tu mkuu, hii taarifa imenishtua sana yaaani
  12. kikoozi

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Hapana, sijawahi kukataliwa ila nimeuliza ili niweze kupata elimu zaidi kwenye ili
Back
Top Bottom