Jamani mimi ni msichana mwenye miaka ya 20 na, nina wazo langu la kufungua shamba la kiti moto (kwa Imani yangu ) .ila nilikuwa naomba ushauri jee iringa mafinga Ama pwani? , asanteni na mungu awe nanyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.