Recent content by kikongwe8

  1. K

    Ushauri

    Jamani mimi ni msichana mwenye miaka ya 20 na, nina wazo langu la kufungua shamba la kiti moto (kwa Imani yangu ) .ila nilikuwa naomba ushauri jee iringa mafinga Ama pwani? , asanteni na mungu awe nanyi
  2. K

    Kufungua Duka la kuuza Vilainishi(Lubricants) na Mapambo ya pikipiki

    Labda ungeenda kwa mafundi kufanya uchunguzi ingekupatia picha halisi
  3. K

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    samahani huko ekari inauzwa kiasi gani na umbali mpaka barabara kuu na usafiri ni mzuri wakati wa masika?
  4. K

    Natafuta Shamba

    samahani huko ekari wanauza sh ngapi na usafiri ni wa uhakika kwenda huko?
Back
Top Bottom