Recent content by Kikiwo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Lakini kumbuka kwamba sisi Africa tunaweza kuishi bila kwenda au kuchukua kitu chochote cha Amerika tukaishi. Lakini Wao Amerika hawawezi kuishi bila kuja Africa au kujisogeza karibu na madini yetu wakaishi kwa furaha. They need us more than we need them. Angalia mfano wa Rais wa Burkinafaso...
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Wengi walisahau kuuliza na kuelewa zile zinazoitwa AWAMU. Ilivyoitwa tu awamu ya 6 wenye kubisha hapo wangebisha ili ibaki kuitwa awamu ya 5. Ikishabadirika tu kutoka awamu ya 5 kwenda awamu ya 6, Mgombea kipindi cha PILI hawezi kuwa na wagombea wengine kwenye ulingo maana anamalizia awamu yake...
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Nafikiri kila Mtanzania anayo haki ya kugombea.
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rasmi, Mahakama yafuta amri ya Msajili wa vyama ya kuzuia ruzuku kwa CHADEMA na kutotambua viongozi

    Hii inatia moyo. Ahsante sana kwa hii Mahakama. Nahisi hata ACT mgombea wao Mpina yaweza kuruhusiwa na Mahakama aendelee na kazi zake .
  5. K

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Rostam ni mfadhili mkuu wa wanamtandao, alipora 'Channel Ten', kauziwa kihuni mgodi wa Makaa ya Mawe na Serikali

    Sio mbaya kama ajira za watanzania zinapatikana . shida nayoiona ni kwasababu gani sasa tusichimbe Chuma ili tuache kuagiza chuma maana kazi ya ujenzi wa SGR bado inahitajika reli iende mpaka Burundi, DRC na kwingine Africa na Mashariki. Kiwanda kianze na wanufaika walipe kodi basi sote...
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole : Tundu Lissu anastahili kuwa nyumbani kwa mkewe na familia yake bila masharti yoyote

    Mh.Pole pole siangefanya kama yule Dada yetu mwenezi wa ACT apeleke malalamiko yake kwenye ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa ? au anatuzuga?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aanza kuwaaga wanachama na wafuasi wake kwa huzuni na hisia sana. Je, ameshajua mwisho wa kesi yake na haki yake anayostahili?

    Jamani hamumuonei huruma na ule mguu wake mwenzenu bado hajapona? Kueni na huruma
  8. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Tundu Lissu gomea hiyo kesi ya mchongo ili waendelee na maamuzi yao ya mchongo

    Umenikumbusha case za Mh.Trump kule Amerika alizokuwa nazo kabla ya uchaguzi lakini hakukata tamaa bali alienda nao hivyo hivyo na kwasasa ndie Rais wa nchi.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Tundu Lissu gomea hiyo kesi ya mchongo ili waendelee na maamuzi yao ya mchongo

    Kwa mwenye uwezo wa kuona beyond the Box, hii kesi baada ya uchaguzi kupita ni kama haitakuwepo. Shida ni Mh.Lissu anakazana atoke kabla ya uchaguzi na wanajua kwamba yeye Lissu hataki uchaguzi ufanyike bila reforms na aliahidi kukinukisha na hilo hawalitaki litokee.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nitakinukisha, NItakinukisha, Nitakinukisha, Nitafanya Uasi, No Reforms No Elections, Kiko Wapi?

    Bora kusema "No reform No Election" kuliko kukinukisha hapo ndo kuna shida............
  11. K

    JamiiForums Tanzania TZS6.6 Trilioni zimekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwl Nyerere na kuifanya Tanzania kuwa na uzalishaji wa MW4,032 sawa na ziada ya MW740

    MKuu hii hoja yako haiwezi kuwa sawa. Nakumbuka kama machine moja wapo ya zile Tisa isingewashwa, tungekuwa kwenye mgao wa umeme wa hatari. Fanya uchunguzi tena utwambie kama kweli hatupati umeme wowote kutoka Bwawa la Nyerere
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hii mbinu ya CCM kujigawa mara mbili nimeipenda, itawatoa mchezoni CHADEMA mchana kweupe

    Je, wakifikiria na kutaka kusaini kwani wamechelewa au?
  13. K

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Ubora wa Treni ya SGR ya Tanzania unazidi treni nyingi za Ulaya

    Kwa hatua Tanzania ilipofikia, sitamani kuhamia au kuzamia Merikani au Ulaya. tutabanana hapa hapa maana maendeleo sasa tunayaona vizuri (visible Devt)
  14. K

    JamiiForums Tanzania CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

    Shida private wengine wakishachukua tasisi za serikali, wanabana faida iwe kidogo na kodi iwe kidogo
  15. K

    JamiiForums Tanzania Godlisten Malisa: Ili tuweze kusafirisha umeme sisi wenyewe kwa tija inabidi tujenge vituo vya kupozea njiani

    Wana JF, nilikua najaribu kuwaza, hivi kama Tz inazalisha umeme lakini hauna manufaa kuupeleka Kasikazini kwasababu ni mbali na kuamua kununua wa Ethopia, Je umeme tunaotaka kuwauzia majirani zetu kama Zambia, Malawi, Kenya na wengine utafikaje huko? Nisaidieni kupata majibu.
Back
Top Bottom