Recent content by KIJITOSAMAKI

  1. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Akili yako ni dhaifu sana. Hiyo njia nakuhakikisha haitawafanikisha kwa lolote.
  2. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Mjinga ni wewe unayefuata upepo wa bendera.
  3. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    CCM ikishindwa Ni bora kuongozwa na CUF sio CDM. CDM ni vibaraka wakubwa, wezi na watakuwa wasaliti wa nchi hii. Huwezi kukabidhi nchi kwa watu wanoonekana dhahiri watapoteza maslahi ya taifa. Watu wanaopanga kuweka rehani madini ili kupata pesa za kuendesha nchi, akili zao zimefilisika. Watauza...
  4. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Hujui mambo ya National Security and Politics ndo maana unasema Majeshi likae pembeni. Anayedhani Majeshi yakae pembeni kwenye politics anajidanganya. Haipo popote duniani. Majeshi ni sehemu ya politics za nchi husika. Tofauti ni kwamba hawagombei nafasi za kisiasa tu basi.
  5. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Hujui international systems zinafanyaje kazi ndo maana unakaa kusubiria eti macho ya mabeberu. Robert Mugabe pamoja na kutengwa na wazungu aliondolewa madarakani? Nchi ziache kushughulika na corona zije kupigania CDM. Mnaegemea mpapai!!!
  6. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Ukweli unauma ndo maana unatoka povu. Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kama umechukia meza wembe. CDM mwaka huu sahau ushindi na mwaka 2025 sahau ushindi. Kwa sababu ya udhaifu wenu katika kupanga mikakati, itawagharimu kweli. Mtabaki kutukana tu. Hiyo ndo itabaki kuwa sera yenu kuu. Wenzenu...
  7. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    Watu wenye shari utawaona tu. Matusi, kejeli, nk. Mungu akusaidie.
  8. K

    GE2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

    CHADEMA inahitaji wataalamu wa stratejia ya siasa (Political Strategists) kuweza kuitoa CCM madarakani kwa urahisi. Vyama vikongwe na vyenye dola kama CCM vinahitaji kufanyiwa mkakati maalumu ambao hauhitaji nguvu. Kama ningepewa fursa ya kutoa ushauri wa kimkakati wa kuitoa CCM ningeshauri...
  9. K

    GE2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    NDUGU YANGU HAKUNA MTU ANAMTAKIA LISSU KIFO. LISSU NI MTANZANIA KAMA WATANZANIA WENGINE. ANASTAHILI KUISHI NA KUTUNZA FAMILIA YAKE KAMA WATU WENGINE. LAKINI LISSU MWENYEWE ANATAKA NCHI ICHAFUKE, WATU WAUANE. HII NI AKILI TUSIYOITAKA. KAMA YEYE ANATAKIA HAYO WANANCHI, BASI NA YEYE AJUE WATU...
  10. K

    GE2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

    CHADEMA HAWAAMINIKI HATA KIDOGO. KWENYE UCHAGUZI WA 2015 WALIINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA VYAMA VINGINE VYA UKAWA, KUACHIANA MAJIMBO NA BAADAE KUGAWANA RUZUKU. LAKINI KILICHOTOKEA NI CHADEMA KUWAGEUKA KWA KILA KITU NA KUTIA MPIRA KWAPANI. HAWA NDO WAPEWE UONGOZI WA NCHI?
  11. K

    GE2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

    BORA HATA CHAUMA CHENYE SERA YA UBWABWA KWA WANAFUNZI KULIKO CHADEMA CHENYE SERA YA MATUSI, VURUGU NA KUUZA NCHI
  12. K

    GE2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

    HAYO ULIYOYATAJA NI MAKUBWA MNO. CHADEMA MMESHINDWA KUJENGA HATA OFISI MOJA KWA MIAKA MITANO PAMOJA NA KUPATA RUZUKU YA MILIONI 336 KILA MWEZI. HATA KUPIGA RANGI OFISI YA MAKAO MAKUU DSM MMESHINDWA. PESA ZOTE AMEKURA MBOWE. HALAFU ETI TUWAKABIDHI NCHI. HAKUNA KITU KAMA HICHO. ENDELEA KUCHOMA...
  13. K

    GE2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    KIONGOZI TUMESHAWAZOEA CHADEMA KWA UONGO WAO. HIYO ISIKUPE SHIDA. KUSEMA UONGO NI JADI YAO. KUBADILISHA MANENO NDO SALA YAO. WAKUBALI WASIKUBALI JPM ATASHINDA NA KUENDELEA KUONGOZA TAIFA.
  14. K

    GE2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    HAWEZI KUPEWA NCHI MSALITI. KAMA CHADEMA HAIKUSHINDA 2015 BAS TENA. SAHAU KABISA MWAKA HUU NA MIAKA IJAYO. BAADA YA UCHAGUZI CHADEMA ITAKUWA IMEKUFA MAANA LISSU ANAIUA KWA KASI SANA. WATANZANIA WATAIKIMBIA CHADEMA. MBOWE ATAMFUKUZA LISSU.
  15. K

    GE2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    HAKUNA CHOCHOTE KUTOKA KWA LISSU LABDA VURUGU TU. HATA YEYE ANAJUA HAWEZI KUSHINDA UCHAGUZI. HATA WEWE UKIMPIGIA KURA UNAHARIBU KURA YAKO TU SABABU NI UWAZI KWAMBA HAWEZI KUSHINDA.
Back
Top Bottom