Duu! jamaa alikuwa noma sana, alikua anauchambua mwili wa binadamu kama karaanga!! lakini nasikia kuwa kuna mtoto wake mmoja alikua nje kusoma na anafuata nyayo za baba yake, na mmoja yupo kwenye jopo la damu salama kanda ya kusini!!
Labda jana yake ulikuwa na mawazo ya freemason, au uliwasikia watu wakizungumzia kuhusu imani hiyo haramu na potofu. Cha msingi potezea!! usipoteze mda kuwaza mambo yasiyo ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.