Recent content by Kijastibikoz

  1. K

    Msaada kwa anayejua jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku wa nyama

    Unaweza kunipatia namba yako ya simu??
  2. K

    Natafuta mbegu ya Samaki (Perege) na Kambale

    Sorry, unaweza kunisaidia mawasiliano yao ya simu
  3. K

    Natafuta mbegu ya Samaki (Perege) na Kambale

    Wanauzwaje pale mbegani?
  4. K

    Natafuta mbegu ya Samaki (Perege) na Kambale

    Nipo Dar, nahitaji mbegu kwa ajili ya kufuga samaki, natafuta mbegu ya samaki na kambale, nitawapata wapi na ni bei gani?? Nisaidieni wadau
  5. K

    Nataka kujiunga na Ualimu

    Nimemaliza kidato cha nne, nina C-History,B-Kiswahili na D tatu za masomo megine, nilipata kwa double seating, nahitaji kujiunga na chuo cha mafunzo ya ualimu, je naweza kupata vyuo vya serikali kwa ngazi ya Certificate au kama wadau kuna chuo cha private ambacho naweza kupata kujiunga naombeni...
Back
Top Bottom