Wanaume kwenye familia imekuwa ni jukumu la msingi kuhudumia familia lakini bado wanaume ndo wenye jukumu la kuhakikisha ndoto za familia na maendeleo mengine yakue kwa kipato anachopata.
Lakini naomba kuuliza endapo mwanaume hasa waliopo kwenye ndoa je unapoamua kutafuta mtaji na kufungu...
VYANZO VIPYA VYA MAPATO
Kumekuwa na kodi na tozo mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwagusa wananchi na zingine zimekuwa zikiwaumiza kutokana na kushuka thamani ya fedha ya Tanznia dhidi ya dola na hii inakuja kwasababu serikali haina vyanzo vipya vingi vya mapato vipo vile vile ambavyo kiuhalisia...
Hadithi ya kuhuzunisha
Changamoto Za Vijana
Tatizo la ajira kwa vijana ni kilio kilichokosa mfariji wa kudumu. Japo kwa Afrika kilio cha ajira machozi yake ni damu Tanzania Vijana wanaongezeka na tatizo linaendela kukua uku wazazi wengi ambao walifurahia ujio wa watotot wao kwa kuwapa majina...
Kweli kabisa ni muhimu kuwa na Sera zinazojibu Ajenda za ILANI ya Taifa ivyo kila Sera ya Taifa inavyokuwa inaboreshwa na ndivyo ambayo sera za nchi zitaboreshwa na itasidia wananchi kujiwekea katika maeneo tajwa wakitambua kuwa hatutakuwa na mabadiliko ya ghafla katika maeneo wanayofanyia KAZI...
Ni kweli kabisa hakuna Ajenda unayofanya watanzania kwa pamoja wakahoji serikali inayopewa ridhaa kwasababu kila chama kinakuja na Ilani Yake na mambo Yake wao ni waajiriwa WA wananchi ivyo wao wanapaswa kupewa majukumu ya kufanya na wao watuamie ni njia zipi watatumia kutekeleza majukumu ili...
Utangulizi
Tanzania inalindwa na katiba kama sheria kuu na kilanja mkuu wa sheria zingine zote zilizopo na zitakazotungwa nchini. Maendeleo ya Tanzania yanaratibiwa na kulindwa na mihimili mitatu Serikali, Bunge na Mahakama lakini yanapangwa, kutungwa kuongozwa na kutekelezwa kwa kufuatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.